Kanuni ambayo wafugaji wengi hawajui na ambayo inatumiwa sana na kuku chotara wanaotaga ni Ile kanuni ya NIPE NIKUPE kanuni hi hutumiwa sana na binadamu kwenye biashara lakini ndio kanuni maarufu Kwa ufugaji. Kuku chotara anaitumia sana hi kanuni kwamba Ukinipa kibovu nitakupa kibovu ila Ukinipa kilicho bora na mimi nitakufuta machozi kwa kukupa bora zaidi. Hapa kuku hawa humanisha kwamba ukiwapa huduma nzuri ya chakula +maji + mabanda safi watakupa mayai mengi na bora zaidi Pia ukiwapa chakula dhaifu watakurudishia udhaifu wako kwa kukupa mayai machache na yalio dhaifu. NIPE NIKUPE ijue hi kanuni mfugaji itakusaidia sana. By magweiga 📞+255757472165 📞+255786155188 Karibu kwa huduma ya vifaranga walio bora wa kroila wa siku 1 kwa shilingi 1500 /= Tupo kibaha pwani
Karibu tuzungumze hapa ndipo kituo chako bora cha maarifa ,karibu useme, niseme, waseme na sisi tunasema 2018. ni sehemu pekee ya kila mmoja kutoa maoni yake na uwelewa wake juu ya kuelimisha jamii. ukiwa unachochote cha kutaka kutushirikisha kupitia jukwaa hili la wana jamii, usisite kututumia baraua pepe kwenda kwa bahatimagweiga467@gmail.com au wasiliana nasi kwa simu namba 0757472165, 0659991953. huduma zetu ni masaa 24