Skip to main content

Posts

Showing posts from November 9, 2021

KANUNI MOJA MUHIMU KATIKA UFUGAJI.

Kanuni ambayo wafugaji wengi hawajui na ambayo inatumiwa sana na kuku chotara wanaotaga ni Ile kanuni ya NIPE NIKUPE kanuni hi hutumiwa sana na binadamu kwenye biashara lakini ndio kanuni maarufu Kwa ufugaji.  Kuku chotara anaitumia sana hi kanuni kwamba Ukinipa kibovu nitakupa kibovu ila Ukinipa kilicho bora na mimi nitakufuta machozi kwa kukupa bora zaidi.   Hapa kuku hawa humanisha kwamba ukiwapa huduma nzuri ya chakula +maji + mabanda safi watakupa mayai mengi na bora zaidi  Pia ukiwapa chakula dhaifu watakurudishia udhaifu wako kwa kukupa mayai machache na yalio dhaifu.  NIPE NIKUPE  ijue hi kanuni mfugaji itakusaidia sana.    By magweiga 📞+255757472165 📞+255786155188 Karibu kwa huduma ya vifaranga walio bora wa kroila wa siku 1 kwa shilingi 1500 /=   Tupo kibaha  pwani