Skip to main content

Posts

Showing posts from October 23, 2019

UNACHOTAKIWA KUFANYA BAADA YA KUSARITIWA / KUKATALIWA NA MWENZI WAKO

Watu wengi hukosea katika mahusiano  kwa kutokuwa  wavumilivu pale wanapoachwa au kusaritiwa.  Wengi huwahi sana kuingia kwenye mahusiano ikiwezekana siku moja baada ya kuachwa na mpenzi wake.  Ukweli ni kwamba huwezi kupatia katika mahusiano kama hujafanyia kazi sababu na changamoto zilizo mfanya huyo mwanaume au mwanamke akukimbie .wengi husema lengo ni kuziba magepu na kupunguza stresi lakini ukweli ni kwamba baada ya mchungu kuisha utarudia makosa yale yale  ya mwanzo.  Unachotakiwa kufanya baada ya kusaritiwa au kukataliwa na mpenzi wako ni........ 1. Jitathimini kwanza 2. Jifikirie kwa kina sana ili kubaini ukweli wa kusaritiwa au kukataliwa kwako. 3. Punguza jaziba na hasira zako kwani zinaweza kukufanya ukaumia zaid pale unapo ongea na aliyekusariti. 4. Punguza kumwambia kila mtu juu ya kuumizwa kwako 5. Jitahidi kusahau . Ukizingatia hayo itakuwa rahisi sana kufika mbali kimahusiano na kufanya chaguo sahihi la mwenzi wako. Ukiendelea kuingia...