Skip to main content

Posts

Showing posts from December 2, 2018

NUKUU YA LEO

Kuishi na wanadamu kuna hitaji akili na uwezo mpana wa kutambua tabia za kila mmoja anayekuzunguka. kwa kufanya hivyo itakurahisishia wewe kujipapmbanua na kwendana na tabia zao. siyo kwa kufuata kile wanacho kiishi( ndoto zao) bali kwa kuzingatia zile tabia zao ambazo umezijifunza kutoka kwao il wasiwe sehemu ya kukwamisha mipango yako na malengo ambayo umejiwekea.  usiogope kiwango cha maneno utakayo nenewa wakati wa kuwasoma hao bali jidhatiti vya kutosha kwa kuangalia mzigo wa malengo yako uliyo nayo. kusemwa ni sehemu ndogo sana katika maisha ya mwanadamu inategemea unasemwa juu ya nini na ni kwa namna gani unaujua ukweli juu ya kile knachosemwa juu yako. lazima utambue kwamba umekuja hapa duniani kutimiza makusudi maalimu na wala siyo kwa bahati mbaya bali ni kwa mipango na maona makubwa toka kwa mwenyezi mungu aliyekupendelea uwepo hapa duniani na amekujalia uhai wa kuendelea utimiza makusudi yake hapa duniani. unaweza kuwatumia wanadamu kama sehemu ya kunufaika kwa kutum...