Skip to main content

Posts

Showing posts from November 4, 2021

ULEAJI WA VIFARANGA NDANI YA SUKU 30 ZA MWANZO

 MAANDALIZI KWAJILI YA  VIFARANGA  NA MAMBO  MUHIMU SIKU 30 ZA MWANZO.          By Magweiga  bahati bahatichacha698@gmail.com 📞+255757472165 📞+255786155188 ukitaka kuwa mfugaji mzuri na mwenye kujenga uzoefu mzuri katika ufugaji huna budi kuanza na vifaranga.  Changamoto mbalimbali za uleaji wa vifaranga ndio uhalisia wa kuku katika magonjwa, ukuaji na mambo mengine yanayo mhusu.  Upo utofauti mkubwa wa uelewa kati ya mtu ambaye ameanza kumfuga kuku tangu kufaranga hadi kutaga kisha kuuzwa  na yule ambaye ameuziwa kuku wakiwa wakubwa.   Aliyeuziwa kuku wakubwa anakuwa na changamoto chache za kutatua kuliko yule mkuzaji wa huyo kuku tangu kufaranga.  Hata katika uchambuzi wa changamoto zinazohusiana na kuku Anakuwa na uwanja mdogo wa kuzungumzia kuku kiundani.  Asilimia kubwa ya watu hupenda kuwa wafugaji lakini hawataki kupita katika mchakato wa kulea vifaranga.  Wengi huamini kukuza vifaranga ni...