MAANDALIZI KWAJILI YA VIFARANGA NA MAMBO MUHIMU SIKU 30 ZA MWANZO. By Magweiga bahati bahatichacha698@gmail.com 📞+255757472165 📞+255786155188 ukitaka kuwa mfugaji mzuri na mwenye kujenga uzoefu mzuri katika ufugaji huna budi kuanza na vifaranga. Changamoto mbalimbali za uleaji wa vifaranga ndio uhalisia wa kuku katika magonjwa, ukuaji na mambo mengine yanayo mhusu. Upo utofauti mkubwa wa uelewa kati ya mtu ambaye ameanza kumfuga kuku tangu kufaranga hadi kutaga kisha kuuzwa na yule ambaye ameuziwa kuku wakiwa wakubwa. Aliyeuziwa kuku wakubwa anakuwa na changamoto chache za kutatua kuliko yule mkuzaji wa huyo kuku tangu kufaranga. Hata katika uchambuzi wa changamoto zinazohusiana na kuku Anakuwa na uwanja mdogo wa kuzungumzia kuku kiundani. Asilimia kubwa ya watu hupenda kuwa wafugaji lakini hawataki kupita katika mchakato wa kulea vifaranga. Wengi huamini kukuza vifaranga ni...
Karibu tuzungumze hapa ndipo kituo chako bora cha maarifa ,karibu useme, niseme, waseme na sisi tunasema 2018. ni sehemu pekee ya kila mmoja kutoa maoni yake na uwelewa wake juu ya kuelimisha jamii. ukiwa unachochote cha kutaka kutushirikisha kupitia jukwaa hili la wana jamii, usisite kututumia baraua pepe kwenda kwa bahatimagweiga467@gmail.com au wasiliana nasi kwa simu namba 0757472165, 0659991953. huduma zetu ni masaa 24