Skip to main content

Posts

Showing posts from June 12, 2018
UJUMBE MUHIMU KWA WANAUME. Utamsikia mwanaume anajisifia kabisa “Mke wangu yeye hapendi hayo mambo, muelewa sana yule mwanamke, hivyo vitu anajinunulia mwenyewe, yeye alimradi chakula kiwepo mezani na watoto waende shule basi!” Ndugu yangu labda kama umeoa Mbuzi na si hawa wanawake ninaowajua mimi. Hakuna mwanamke ambaye hapendi kudekezwa, hapendi umnunulie vizawadi, hapendi umtoe out siku moja moja, hapendi umsifie na kumsuprise kimapenzi mapenzi. Wewe kuleta ugali mezani ni majukumu yako kama mwanaume, lakini kumtoa hata kula chips mtaani ni mapenzi, kumpelekea maua ni mapenzi. Kumpa hela ya kununua nguo ni majukumu, lakini kumnunulia nguo, ukamuambia ajaribishe, ukamsifia alivyopendeza ni ni mapenzi. Utasikia mwanaume anasema “Mimi siwezi kuchagua nampa pesa achague mwenyewe..” Ndugu yangu raha ya zawadi ni kununuliwa na si kujinunulia. Ukimpa pesa akanunue maua yanakua maua ya mezani ila ukimnunulia wewe na kumpa yanageuka kuwa zawadi ya maua hata kama hayana harufu utaona ana...
EPUKA SANA STAREHE KUWA CHANZO CHA MAUMIVU KWA YULE UMPENDAYE : Ni jambo moja kuwa mzinzi, ni jambo moja kumsaliti mke/mume wako ni jambo moja kudharau na kutokujali hisia zake. Lakini unapata nini hasa kwa kumuonyesha dhahiri madhambi yako? Kama unafuraha kuwa unachepuka kwanini usifenye huko huko mpaka uchukue na Video za unachokifanya au hata wewe huamini kua una furaha unataka ushahidi? Kuna haja gani ya kupiga picha na mchepuko wako? Kuna haja gani ya kutumiana sehemu zenu za uchi, kuna haja gani ya kupokea simu ya mchepuko mbele ya mpenzi wako. Wewe si umeshaamua kufanya starehe, kama kweli una furaha kwanini usifurahi peke yako, kwanini umuonyeshee, kwanini ubakize mameseji ili aje ayaone. Kumbuka unaweza kumuomba msamaha, anaweza kukusamehe kwakua anakupenda au kwakua hana sehemu nyingine ya kwenda lakini kamwe hawezi kusahau. Kwanini starehe zako ziwe maumivu kwa wengine. Tuseme basi umemchoka na unataka kumuacha, kwani ukimuacha kwa wema bila kumuuliza kwa mapicha na dhar...