Skip to main content

Posts

Showing posts from May 3, 2018

KUWEKA AKIBA.

Ukiwa na malengo ya kutimiza katika maisha yako inakulazimu kuweka akiba zaidi ya kuendekeza starehe ambazo hukugarimu kiasi kikubwa cha fedha.  Jambo kubwa la kuangalia hasa unapokuwa unania ya kufikia ndoto zako ni mugawanyo sahihi katika mambo yaliosahihi kwa wakati sahihi.   Asilimia kubwa ya watu hushindwa kufika kule wanako kusudia kutokana na kukoswa msimamo wa kuweka akiba na kujizuia katika mambo yasiokuwa na tija Inatakiwa kuwa na mugawanyo mzuri wa matumizi yako ili  uweze kubakiza asilimia 10% ya kipato chako kama akiba.  Endelea kufuatilia makala hizi kupitia blog hii  huria.  Tunakwahidi kuendelea kukupa makala ambazo zimesheheni maudhui muhimu katika kukujenga kifikira.  Usisahau maoni yako ni ya muhimu sana katika kujenga kifikira.   KANUNI UNAZOTAKIWA KUZINGATIA KUHUSU FEDHA. Zipo kanuni mbalimbali ambazo unapaswa kuzingatia katika maswala ya fedha.    *KANUNI NO. 1*  Kamwe usikope fedha...

TANGAZA NASI BIASHARA ZAKO

Tangaza nasi kupitia blog yako ya tujengane media  muda wowote bila vikwazo. Tutafikisha matangazo yako zaidi ya nchi 108 Duniani kote. Kuwa wa kwanza kujulikana kibiashara na kutangaza kipaji chako iwe mziki , mpira,  riadha nk. Utatangazwa kwa mwezi mzima kupitia blog hii kwa garama nafuu  kabisa.  Ili kutufikishia matangazo yako wasiliana nasi kupitia E-mail bahatimagweiga467@gmail.com  au simu namba  +255 786 9555 89. Kumbuka Huduma zetu ni ndani ya masaa 24 hakuna ukomo wa matangazo. Share na marafiki zako hasa wenye nia ya kufanikiwa kimaisha pia na wale amabao wamekwisha kujikatia tamaa hapa ndio sehemu yao sahihi.