Ukiwa na malengo ya kutimiza katika maisha yako inakulazimu kuweka akiba zaidi ya kuendekeza starehe ambazo hukugarimu kiasi kikubwa cha fedha. Jambo kubwa la kuangalia hasa unapokuwa unania ya kufikia ndoto zako ni mugawanyo sahihi katika mambo yaliosahihi kwa wakati sahihi. Asilimia kubwa ya watu hushindwa kufika kule wanako kusudia kutokana na kukoswa msimamo wa kuweka akiba na kujizuia katika mambo yasiokuwa na tija Inatakiwa kuwa na mugawanyo mzuri wa matumizi yako ili uweze kubakiza asilimia 10% ya kipato chako kama akiba. Endelea kufuatilia makala hizi kupitia blog hii huria. Tunakwahidi kuendelea kukupa makala ambazo zimesheheni maudhui muhimu katika kukujenga kifikira. Usisahau maoni yako ni ya muhimu sana katika kujenga kifikira. KANUNI UNAZOTAKIWA KUZINGATIA KUHUSU FEDHA. Zipo kanuni mbalimbali ambazo unapaswa kuzingatia katika maswala ya fedha. *KANUNI NO. 1* Kamwe usikope fedha...
Karibu tuzungumze hapa ndipo kituo chako bora cha maarifa ,karibu useme, niseme, waseme na sisi tunasema 2018. ni sehemu pekee ya kila mmoja kutoa maoni yake na uwelewa wake juu ya kuelimisha jamii. ukiwa unachochote cha kutaka kutushirikisha kupitia jukwaa hili la wana jamii, usisite kututumia baraua pepe kwenda kwa bahatimagweiga467@gmail.com au wasiliana nasi kwa simu namba 0757472165, 0659991953. huduma zetu ni masaa 24