Skip to main content

Posts

Showing posts from October 17, 2018

KUWA NA MAMZI BINAFSI

unaporuhusu  watu kuwa wamzi wa maisha yako lazima utegemee kuwa kama wao wanavyo waza. yawezekana kabisa ni marafiki zako ndugu zako na  hata jamaa zako. hii inamanisha kwamba kwa kila hatua utakayopiga kwenye maisha yako itatokana na mawazo yao au mbinu zao za kimaisha. haijarishi ni hatua chanya au hasi. Madhara makubwa ya kufanyiwa mmzi na watu wengine ni makubwa zaidi ya kile amabacho unadhania................................................................