Skip to main content

Posts

Showing posts from May 8, 2018

KUJITAMBUA KATIKA WAKATI SAHIHI

Kujitambua katika maisha ni moja ya hatua kubwa ambayo humtofautisha mtu na mtu katika swala zima la mafanikio. Nini maana ya kujitambua? Ukizungumzia neno kujitambua kwa mtu yeyote ni  kuwa mtu sahihi, mahali sahihi, kwa muda sahihi.   Kuwa mtu sahihi maana yake ni kuwa mtu ambaye unajisimamia na kutekeleza kile ambacho unatakiwa kufanya wewe kama mwanadamu. Mahali sahihi inamanisha kwamba upo kwenye kiwango ambacho ulistahiri kuwepo kimaisha kwa maana ya kwamba kiuchumi, kijamii na hata kisiasa.  Asilimia kubwa ya vijana waliowengi hupoteza uelekeo wao wa maisha kwa kushindwa kujitambua katika umuri nyeti ambao bado vijana hawa wanakuwepo na nguvu za kutosha za kuwawezesha kushughulika na ndoto zao katika maisha.  Tunapaswa kujitambua na kutambua kwamba chochote ambacho kinaonekana sasa katika Macho yetu ni mamzi mugumu yaliofanywa na watu kama sisi.  Vijana wengi tumekuwa na tabia furani ya kuiambia dunia tunachokifahamu badala ya kuonyesha Dunia unach...