MAFANIKIO HUANZA NA FIKIRA Nimependa kushare nanyi kidogo baada ya kufanya utafiti ambao sio rasmi saana, hasa tukizungumzia mada ya Mafanikio. Watu wengi hasa sisi vijana tumekuwa tukichukulia mafanikio kama tukio....(Success as an event) lakini ukweli ni kwamba mafanikio au Kufanikiwa katika jambo lolote ni Mchakato(a process) ambao unakuwa na Mkakati Fulani/ Maalumu (strategy). Mchakato huo maalumu lazima uanzie akilini kwanza. Tunapoongelea Mafanikio katika chochote ni lazima kwanza kuamini katika kufanikiwa ndipo tuandae mkakati ambao utakusaidia au ambao utakuwa ndio njia ya kukufikisha kwenye Mafanikio. Ukweli ni kwamba Huwezi yafikia Mafanikio Makubwa yoyote halali yenye Thamani Bila Kuamini kwanza katika Mafanikio na kujenga mtazamo Chanya juu ya kile unachokiendea. Lakini Kwa Kumalizia Unaweza kuamini katika Mafaniki...
Karibu tuzungumze hapa ndipo kituo chako bora cha maarifa ,karibu useme, niseme, waseme na sisi tunasema 2018. ni sehemu pekee ya kila mmoja kutoa maoni yake na uwelewa wake juu ya kuelimisha jamii. ukiwa unachochote cha kutaka kutushirikisha kupitia jukwaa hili la wana jamii, usisite kututumia baraua pepe kwenda kwa bahatimagweiga467@gmail.com au wasiliana nasi kwa simu namba 0757472165, 0659991953. huduma zetu ni masaa 24