Mahitaji Muhimu kwa vifaranga 100 ndani ya wiki 3 mpaka 4. www.tujenganemedia. blogspot. Com ✔️ chakula 50kg statar. Huweza kutumika kwa wiki 3 kisha ukaongeza kiroba kingine ✔️ chungu joto 1 au bulb joto kwajili ya vifaranga 1 ✔️ vyombo vya maji 3 ✔️vyombo vya kulishia vifaranga 3 mpaka 4 . Hi unaweza kutumia mifuniko yenye muundo wa masinia. Dukani ipo. ✔️ Dawa ya kuanzishia ( NEOXCHICK FORMULA ) ✔️ glucolin kwajili ya kuwapa kwa masaa matatu ya mwanzo. ✔️ Maranda ya mpunga au matandazo kwajili ya kufyonza vinyessi vyao. ✔️Trimizine : hi tunachanganya kwenye neochick ili kusaidia vifaranga wasipate magonjwa ya kuhara kama vile typhoid ndani ya siku 7 mapaka 14 Hayo ni acheche katika mengi ambayo mfugaji unapaswa kufanya katika muradi wako. By Bahati MagweIgarashi 0757472165 0786155188 Vifaranga wa siku 1 ni 1500/= Vifaranga wa mwezi 5000/= Karibu Sana
Karibu tuzungumze hapa ndipo kituo chako bora cha maarifa ,karibu useme, niseme, waseme na sisi tunasema 2018. ni sehemu pekee ya kila mmoja kutoa maoni yake na uwelewa wake juu ya kuelimisha jamii. ukiwa unachochote cha kutaka kutushirikisha kupitia jukwaa hili la wana jamii, usisite kututumia baraua pepe kwenda kwa bahatimagweiga467@gmail.com au wasiliana nasi kwa simu namba 0757472165, 0659991953. huduma zetu ni masaa 24