Skip to main content

Posts

Showing posts from May 2, 2018

SIRI KADHAA ZA KUFANIKIWA :

    Mafanikio ni haki ya kila mmoja wetu na ni kitu ambacho kinawezekana kwa kila mmoja.  Watu wamekuwa wakichukuria neno mafanikio kama ajari (accident ) . Ila ukweli mafanikio siyo ajari bali ni matokeo ya misimamo yetu na misimamo yetu ni munganiko wa uchaguzi wa mambo ambayo tunayamini kuwa ndio sahihi.  Kwa maana nyingine Tunasema kwamba mafanikio ni mamzi (choice ) na siyo  nafasi.  Katika maandiko tunasema mafanikio ni neema ambayo kila mmoja wetu anakeremiwa na mungu kwa kadri anavyotumikia na kuifanyia kazi neema hiyo.  Na kila mmoja wetu amejaliwa neema hiyo na mungu hata kabla hajamuleta hapa duniani. Kabla ya kuendelea mbele hebu tuangalie kwanza utofauti kati ya mtu mwenye kiu ya mafanikio na ambaye amekata tamaa za kufanikiwa.  Kwa maana nyingine Tunasema WINNERS  VS  LOSERS.  1. Mshindi muda wote anakuwa ni mtatuzi wa matatizo  ( problem solver and answers  finder)  . Watu washindi na wa pamb...

TUJENGANE MEDIA

Asante kwa kuichagua Tujengane media kuwa blog yako ya kukujuza taarifa muhimu na za kukujenga  kimaisha.  Hii ni blog ilioanzishwa kwa masirahi mapana ya kimaisha .ni blog pekee ambayo inakupa makala mbalimbali ambazo zimesheheni maudhui muhimu katika maisha yetu ya kila siku. Ukiwa na chochote ambacho kinakutatiza katika maisha yako usisite kuomba musaada wa kifikira.  Hapa ni mahara sahihi pa kukutana na watalamu mbalimbali wa maswala ya ushauri na saikolojia za wanadamu . Maoni na mibadala mbalimbali vitakuwa sehemu muhimu ya kubadilishana ujuzi,  maarifa pamoja na ukomavu wa fikira. Unachotakiwa kufanya ni kuwajulisha wenzako kujiunga katiaka blog hii. Sambaza linki hii kwa wenzio. www.tujenganemedia. blogs port. com

MAISHA YETU

                                 MAISHA Maisha ya mwanadamu yananyakati mbalimbali ambazo lazima  azipitie , hivyo uvumilivu ni jambo muhimu sana hususani katika maswala ya kujipanga kimaisha. haina maana kwamba ukishindwa eneo moja ndio umeshindwa maeneo yote katika maisha. kila changamoto unazopitia zinafunzo kubwa katika safari ya kuyafikia malengo yako. usikubali kusalenda juu ya harakati za maisha.  Nirahisi sana kukata tamaa hasa ukiwa mtu wa kufuatilia mambo ambayo hayana faida katika ubadaye wa maisha yako. kwa mfano swala la kuchezea muda kwa kujidanganya kwamba ipo siko utatekeleza pale umuri utakapokuwa umefika .  endelea kufuatilia makala zangu katika kurasa mbalimbali za mitandao ya kijamii ili tuweze kwenda sambamba katika kuyafikia malengo yetu na kutimiza ndoto zetu Pia usisite kujifunza pamoja na wenzio kupitia blog hii ambayo ni huru kwa vijana na kila mtu am...