Mafanikio ni haki ya kila mmoja wetu na ni kitu ambacho kinawezekana kwa kila mmoja. Watu wamekuwa wakichukuria neno mafanikio kama ajari (accident ) . Ila ukweli mafanikio siyo ajari bali ni matokeo ya misimamo yetu na misimamo yetu ni munganiko wa uchaguzi wa mambo ambayo tunayamini kuwa ndio sahihi. Kwa maana nyingine Tunasema kwamba mafanikio ni mamzi (choice ) na siyo nafasi. Katika maandiko tunasema mafanikio ni neema ambayo kila mmoja wetu anakeremiwa na mungu kwa kadri anavyotumikia na kuifanyia kazi neema hiyo. Na kila mmoja wetu amejaliwa neema hiyo na mungu hata kabla hajamuleta hapa duniani. Kabla ya kuendelea mbele hebu tuangalie kwanza utofauti kati ya mtu mwenye kiu ya mafanikio na ambaye amekata tamaa za kufanikiwa. Kwa maana nyingine Tunasema WINNERS VS LOSERS. 1. Mshindi muda wote anakuwa ni mtatuzi wa matatizo ( problem solver and answers finder) . Watu washindi na wa pamb...
Karibu tuzungumze hapa ndipo kituo chako bora cha maarifa ,karibu useme, niseme, waseme na sisi tunasema 2018. ni sehemu pekee ya kila mmoja kutoa maoni yake na uwelewa wake juu ya kuelimisha jamii. ukiwa unachochote cha kutaka kutushirikisha kupitia jukwaa hili la wana jamii, usisite kututumia baraua pepe kwenda kwa bahatimagweiga467@gmail.com au wasiliana nasi kwa simu namba 0757472165, 0659991953. huduma zetu ni masaa 24