Moja ya taswira ya kutambua kesho ya mwanamke yeyote katika ndoa yake ni kutambua msimamo wa awali. wapo mabinti ambao wamepoteza waenzi wao kwa kushindwa kuwa na msimamo katika mahusiano yao. kwa maana nyingine tunasema wanavumishwa na wimbi la watu wakupita na ambao hwana mpango wowote wa kukuaa nao kimahusiano. tathimini inaonyesha kwamba asilimia kubwa ya wanawake ambao hawajaolewa na hawatarajii kuolewa wamekumbwa na tatizo hilo kutokana na kukoswa msimamo kipindi cha ubinti wao. Jambo la kutambua ni kwamba unaposhindwa kuwa na msimamo lazima hadhi yako itashuka na kujikuta unakuwa mtu wakimatumizi katika upande wa wanaume. ipo haja ya kubadilika kama watoto wakike ili kuweza kutoa taswira chanya ya kesho. wanaume wanachohitaji kwa sasa ni umakini na msimamo wa mwanamke na siyo urembo wa mwanamke. japo kwa sasa wamebakia wanaume wachache wanaotumia kauli ya kwamba sura ndio kila kitu. kuna misingi maalumu amabayo unatakiwa kuitambua kama binti ili k...
Karibu tuzungumze hapa ndipo kituo chako bora cha maarifa ,karibu useme, niseme, waseme na sisi tunasema 2018. ni sehemu pekee ya kila mmoja kutoa maoni yake na uwelewa wake juu ya kuelimisha jamii. ukiwa unachochote cha kutaka kutushirikisha kupitia jukwaa hili la wana jamii, usisite kututumia baraua pepe kwenda kwa bahatimagweiga467@gmail.com au wasiliana nasi kwa simu namba 0757472165, 0659991953. huduma zetu ni masaa 24