Skip to main content

Posts

Showing posts from May 18, 2018

SIMLIZI YA KWELI YA WANANDOA WAWILI MARRY NA JOSEPH

Mkasa wa kweli wa  wanandoa fulani  ambao mpaka Mwisho wa simulizi hii kila mwanandoa ukiweza kupata Muda wa kusoma utajifunza kitu. Usiwe Mvivu wa kusoma mkasa huu   JE NANI ALAUMIWE KATI YA JOSEPH NA MARRY? Ongozana nami mpaka mwisho wa simulizi. 1.Sehemu ya Kwanza Joseph Alimuoa marry Kati ya mabint waTatu aliowahi kuwa nao,  marry Alikuwa mzuri sana hata  wa sura kiasi Kwamba Joseph akavutiwa naye Bila kujua uzuri wa mke ni tabia  na sio sura wala shepu,lakini Joseph Alikuwa amekufa ameoza kwa marry, Maisha ya ndoa yakaanza wakiwa hawana kitu yaani wote ndio Wanaanza from zero,  walikaa Muda kidogo Bila kupata watoto baadaye Mungu akawasaidia wakapata mtoto na familia ikaongezeka,  Joseph Alikuwa ni mtoto wa kwanza kwao na Alikuwa ametoka familia ya Kimaskini sana na marry pia hivyo hivyo tena kwao na marry ndio kulikuwa zaidi  Baada ya miaka kazaa Mke akaanza kabadilika tabia mke akaanza kuwa Mchoyo ndugu wakija Nyumbani an...