Katika maisha unapaswa kukubaliana na mapungufu amabayo unayo katika nyakati amabazo unapiatia kwenye maisha yako. Wapo watu mbalimbali ambao wanakumbana na changamoto nyingi sana katka maisha yao kutokana na kushindwa kukubaliana na mpungufu ama yake binafsi au ya watu wanao mzunguka. Jifunze kuwa mwepesi wa kukubaliana na vitu kama hivyo kwenye maisha yako na baada ya hapo uchukue hatua mapema kukabiliana na hiyo hali. Kuendelea kulaumu hakukupi wewe daraja la kuvukia kuelekea kwenye nafasi ya wateule wanaokubali kushindana na changamoto katika maisha yao na sio kusindwa kizembe na chanagamoto. Ikunbukwe kwamba mtu pekee mwenye dhamana ya kunusuru malengo yako ni wewe mwenyewe. Unapaswa kujibidisha katika kufikiria mambo yalio chanya na kuachana na vitu hasi kama vile kuendelea kushindana na watu ambao wana mapungufu yalio kinyume kabisa na mlengo yako. Jijengee mfumo wa kusamehe, kuikubali na kukbaliana na mapungufu yako pamoja na mapungufu ya wenzio, jisamehe mwenyewe pale ...
Karibu tuzungumze hapa ndipo kituo chako bora cha maarifa ,karibu useme, niseme, waseme na sisi tunasema 2018. ni sehemu pekee ya kila mmoja kutoa maoni yake na uwelewa wake juu ya kuelimisha jamii. ukiwa unachochote cha kutaka kutushirikisha kupitia jukwaa hili la wana jamii, usisite kututumia baraua pepe kwenda kwa bahatimagweiga467@gmail.com au wasiliana nasi kwa simu namba 0757472165, 0659991953. huduma zetu ni masaa 24