Skip to main content

Posts

Showing posts from June 2, 2018

NG'AMUA HAYA NA UCHUKUE HATUA KABLA YA YEYE KUFANYA HIVYO

DALILI ZA MTU ANAYETAKA KUKUACHA. . Sio kila mtu ana uwezo wa kukufata au kukupigia simu na kukuambia live kuwa hakutaki, muachane, wengi hawawezi kuwa kauzu hivyo na kuamua kutumia njia zingine ambazo kwa kiasi kikubwa zitakuumiza, kutesa, au kusababisha malalamiko/ugomvi unaoweza mpa sababu ya kuachana na wewe. Zifuatazo ni dalili za mahusiano yanayokaribia kufa. . 1: MABADILIKO YA TABIA: Mara nyingi mtu anapokua amekuchoka huwa anaanza kujenga tabia za ajabu ajabu, ambazo zitakufanya ukose usingizi, ukose raha ya maisha au hata kusababisha mitafaruku ya mara kwa mara. Mfano: Usaliti wa mara kwa mara na muda mwingine ni wa wazi wazi, gubu, kisirani, kukosoa kosoa bila sababu, kuchelewa kurudi, jeuri, dharau*kejeli, kukupiga mara kwa mara. . 2: KUPUNGUZA MAWASILIANO: Hii ndo huwa jambo kubwa hasa kwa wenye mahusiano yaliyo nje ya ndoa na ndani ya ndoa. Mlizoeana kuchat asubuhi mpaka usiku, kupigiana simu mara kwa mara. Lakini ghafla unaona ile kasi inapungua, story, ushauri, vi...

ZIJUE SABABU KADHAA ZA MWANAMKE KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

MWANAMKE KUKOSA HAMU YA KUFANYA MAPENZI Tatizo la kukosa hamu ya kufanya mapenzi au kukosa nyege kwa lugha ya mitaani huwatokea zaidi wanawake kuliko wanaume lakini ni wanaume wanaokerwa zaidi na tatizo hili kuliko wanawake. Wakati ambapo ni asilimia 15 hadi 16 ya wanaume wenye tatizo hili, idadi ya wanawake ni mara mbili ya hii ya wanaume. Lakini wakati ni asilimia 23 ya wanaume wanaonyesha kuridhika kuishi na tatizo hili, asilimia 46 ya wanawake wapo radhi kabisa kuendelea kuishi na tatizo hili. Si lazima kuendelea kuishi na tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa sababu kuna mambo mengi unayoweza kuyafanya ili kuondokana na hili tatizo. Hali ya kupenda kufanya mapenzi au tendo la ndoa kwa mwanamke inabadilikabadilika sana ikipanda na kushuka kulingana na matukio mbalibali yanayomtokea katika maisha yake.  Baadhi ya matukio yanayoathiri hamu ya mwanamke kufanya mapenzi ni pamoja na kuanza na kwisha kwa mahusiano ya kimapenzi na mwanamme, kupata ujauzito, na ...
UKIWA NA MWANAMKE MWENYE TABIA HIZI,KAA NAE MBALI SANA HUYO NI MWIZI TU 1 : Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali. 2 : Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu. 3 : Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa. 4 : Anaahilisha mara kwa mara kukutana na wewe tena bila kukueleza sababu za msingi Au kukutungia uongo wa dhahili na kuusisitiza bila kuona aibu. 5 : Anapokuwa akitoa maelezo ya mwanaume amtakaye sifa zake zinakuwa hayalingani na wewe. Anaweza kukuambia napenda kuishi na mwanaume mwenye gari au mwenye mwili mkubwa, sifa ambazo wewe huna! 6 : Hacheki kwa furaha hata kama ukimchekesha haoneshi furaha ya moyoni. Tena mara nyingine anakuwa mkimya na mshiwishi mkubwa wa kuachana kutoka kwen...