Skip to main content

Posts

Showing posts from September 21, 2018
Jilazimishe kusamehe ili iwe rahisi kwako kusamehewa mbele za mungu.  Kuna badhi ya watu wanashindwa kusamehe kabisa hata pale wenzao wanapojishusha kwa kuwaomba msamaha . Jambo la kujiuliza ni moja,  Ni kwanini wao wasisamehe kama yesu mwenyewe awasamehe? . Lazima tubadilike na kuyafuata maandiko matakatifu.