moja kati ya nyakati ngumu ambazo mwanadamu hukumbana nazo ni ule wakati ambao wanadamu wenzio hujinua katika maisha yako wewe. hasa katika wakati ambao unaamini kwamba upo sahihi katika mtazamo fulani wa kitu amabacho unatazama wazi kwamba kinaweza kuwa na faida kubwa kiuchumi na maendeleo yako kiujumla. kwa mfano unafanya mamzi sahihi ya kuwa na mwenzi wako ambaye umetafakari kwa mapana kabisa na ukaona kwamba huyu anasitahili kuwa na mimi kulingana na tabia zake pamoja na mipango yake ya kimaisha ila kutokana na imani za kwenu ukunapingwa na kuogopeshwa juu ya mwenzi wako. mira na desturi hukwamisha vikali maendeleo ya mtu na kumfanya kutmia nguvu kubwa kuishi na mtu ambaye hakutarajia kuwa naye . hii ni kutokana na mitazamo ya watu waliotulea huku wakiamininkatika ukabira kuwa ndio chachu ya uvumilivu katika ndoa. wanashindwa kutambua kwamba ndoa inamisingi yake na pia kuna madhara makubwa ya kuchaguliwa ni mtu wa aina gani ungepaswa kuishi naye katika...
Karibu tuzungumze hapa ndipo kituo chako bora cha maarifa ,karibu useme, niseme, waseme na sisi tunasema 2018. ni sehemu pekee ya kila mmoja kutoa maoni yake na uwelewa wake juu ya kuelimisha jamii. ukiwa unachochote cha kutaka kutushirikisha kupitia jukwaa hili la wana jamii, usisite kututumia baraua pepe kwenda kwa bahatimagweiga467@gmail.com au wasiliana nasi kwa simu namba 0757472165, 0659991953. huduma zetu ni masaa 24