Skip to main content

Posts

Showing posts from July 20, 2018

UCHUMBA NA MAHUSIANO

                                     MAANA YA UCHUMBA I ngawa neno “uchumba” halipatikani katika Bibilia, tumepewa kanuni kwamba Wakristo wanastahili kupitia kabla ya ndoa. Kanuni ya kwanza ni kwamba ni lazima tutafautishe mtazamo wa dunia kuhusu uchumba kwa sababu mtazamo wa Mungu wahitilafiana na ule wa dunia (2 Petero 2:20). Huku ikiwa mtazamo wa dunia juu ya uchumba huenda usiwe na jinsi tunavyo taka, cha muimu ni kutambua tabia ya mtu kabla tufanye ahadi naye. Lazima tujue ikiwa huyu mtu ameokoka katika roho wa kristo (Yohana 3:3-8) na kama huyo mtu ako na nia ile kama ya kristo (Wafilipi 2:5). Lengo kuu la uchumba ni kumtafuta mpenzi wa maisha. Bibilia inatuambia kwamba, kama Wakristo tusioe wasio Wakristo (2 Wakorintho 6:14-15) kwa sababu hii itafanya uhusiano wetu na Kristo na tuaibishe tabia zetu na kanuni zetu ziwe hafifu. Wakati mtu amejitoa kw uhusiano, hata kama ni wa uchumba,...