Skip to main content

Posts

Showing posts from October 14, 2018

NUKUU YA LEO NA TUJENGANE MEDIA

Katika maisha yako usithubutu kumdharau mtu yeyote kwani kuna nguvu ambayo mungu ameweka ndani yetu ambayo wengi hatuifahamu.  Ipo nguvu ya kimafanikio katika mtu huyo ambaye leo unamdharu.  Kuna usemi  usemao  hakuna ajuaye kesho yake.  Yawezekana huyo ambaye unamdharu kwa leo ndiye amebeba dhana kubwa ya mafanikio yako.  Usijione bora kuliko wengine kutokana na mali ulizonazo au Elimu,  cheo  nk. Kupanda mulima huwa ni kazi ngumu kidogo lakini kushuka mulima ni rahisi muno.  Kwa maana nyingine kushushwa kwa pigo la mwenyezi mungu ni rahisi sana.  Usipende kulazimisha