Skip to main content

TANZANIA NA FURUSA ZAKE.

HIZI HAPA FURUSA NYINGI ZA KUCHANGAMKIA NCHINI TANZANIA.
1. Kununua Mashine za kukoroga
zege na kukodisha.
2. Kununua Mashine za kukata
vyuma na kuzikodisha.
3. Kutengeneza na kuuza tofali
4. Ufundi, Website updating/
Database: Katika Halmashauri,
Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya
na Makampuni mbalimbali.
5. Kuanzisha kituo cha redio na
televisheni
6. Kufunga na kutengeneza vifaa
mbalimbali vya electroniki na
mawasiliano mfano; compyuta na
vifaa vya compyuta na
mawasiliano.
7. Kuuza software; mfano Antivirus,
Operating Systems, Pastel, Tally,
Myob, n.k
8. Kushona na kuuza nguo.
9. Kufungua Duka la kuuza nguo
mpya; suit, socks, batiki, nguo za
asili, Mashuka, Mashati, Suruali,
10. Ufugaji wa mifugo mbalimbali
mfano Kondoo, Mbuzi, Ng’ombe,
Kuku, Bata, na wengine.
11. Kufungua stationery, kuuza
(supply) vitabu na vifaa mbalimbali
ktk mashule na vyuo.
12. Kutoa ushauri mbalimbali wa
Kitaalamu.
13. Kuuza viazi, mahindi, mihogo,
kutengeneza popcorn na kuziuza.
14. Kusajili namba za simu na
kuuza vocha
15. Kuwa na mradi wa Pikipiki
zisizotumia mafuta na zinazotumia
mafuta
16. Kilimo cha mazao mbalimbali
kulingana na hali ya hewa ya
sehemu husika.
17. Kuuza Mitumba
18. Kusimamia miradi mbalimbali
19. Kufungua duka la kuuza
mitambo mbalimbali
20. Kufungua banda la chakula na
chips
21. Kukodisha turubai viti na meza
22. Kufungua Supermarket
23. Kufungua Saluni
24. Kufungua Bucha
25. Video Shooting & Editing.
26. Kufungua Internet cafe
27. Duka la kuuza matunda
28. Kufungua duka la kuuza vifaa
vya simu za mkononi na landline.
29. Kufungua duka la vifaa vya
ujenzi; cement, vifaa vya umeme,
duka la mabati
30. Kutengeneza michoro
mbalimbali ya majumba na miradi
ya ICT
31. Kuchapa vitabu, bronchures, n.k
32. Kuanzisha kampuni ya ujenzi
(Building contractor)
33. Kuuza Vifaa vya umeme wa
nishati ya jua (solar) ,battery,
inverter na vifaa vingine vya solar
n.k
34. Kuuza maji kwa jumla na
rejaleja.
35. Kutengeneza na kuuza Unga wa
lishe bora.
36. Kukodisha Music
37. Kuanzisha Mradi wa Taxi
38. Kuanzisha mradi wa Daladala
39. Kuuza vifaa vya Kompyuta,
laptops, converters, HDDs, Monitors,
Softwares, CD Copiers na vifaa
vingine.
40. Kununua magenerator na
kukodisha
41. Kufungua kampuni ya kutoa
huduma za simu
42. Kufungua kampuni ya kutoa
huduma za internet (ISP)
43. Kuuza mabati na vigae
44. Kujenga apartments
45. Kufungua Kisima cha mafuta ya
taa au mafuta ya aina zote
46. Kufungua Duka la samaki
47. Kufungua Duka la nafaka
48. Kufungua Shule za Awali, Shule
za Msingi, Sekondari na Vyuo.
49. Kujenga hostel
50. Kuuza vocha na ving’amuzi vya
DStv, Zuku, Startimes, Easy TV,
TNG, Digitech, Continental.
51. Kujenga mtambo wa kuzalisha
umeme na kuuza katika viwanda na
wananchi.
52. Ufundi simu
53. Kufungua Hospitali, Zahanati.
54. Maabara ya Macho, Meno
55. Kuchimba/Kuuza Madini
56. Kufungua ofisi ya kutoa huduma
ya simu na fax
57. Kuuza miti na mbao
58. Kufungua Grocery, bar
59. Kufungua studio ya kupiga na
kusafisha picha
60. Kucharge simu/battery
61. Duka la TV na vifaa vingine
62. Kuanzisha biashara ya kuuza
vyakula katika sherehe na tamasha
mbalimbali (catering).
63. Banda la kupigisha simu
64. Kuuza na kushona Uniform za
shule
65. Kuanzisha duka la kuuza vitu
kwa jumla.
66. Kufungua gereji za kutengeneza
bajaji, pikipiki na magari
67. Kuuza vyuma, pembejeo, rake,
jembe
68. Kuuza fanicha
69. Kufungua sehemu ya kuziba
pancha za matairi
ya magari na mitambo.
70. Kujenga nyumba za kulala
wageni (hotel)
71. Kuagiza na kuuza vifaa vya
aluminium.
72. Kuuza vioo
73. Kushona na kukodisha nguo za
harusi
74. Kufungua yard kwa ajili ya
kuosha magari
75. Kuuza mashine za kuchomelea
(welding machine).
76. Kuuza vifaa vya kuvaa Site
(boots, helmets etc)
77. Kununua mabasi kwa ajili ya
kusafirisha wanafunzi
78. Kufungua studio ya kutengeneza
vipindi vya redio na televisheni
79. Kuanzisha ofisi ya michezo ya
televisheni (TV Games)
80. Kufungua benki
81. Kuwa na malori ya kubeba
kokoto na mchanga
82. Kuuza vifaa mfano TV, CCTV
Camera, n.k
83. Kuwa dalali wa vitu mbalimbali
84. Kuanzisha mradi wa kukodisha
fork lift na winchi (crane)
85. Kuanzisha kiwanda cha
kutengeneza viatu.
86. Kuanzisha viwanda mbalimbali
87. Duka la vifaa vya simu na
gadgets mbalimbali zinazoendana
na mawasiliano ya Vodacom, TTCL,
AIRTEL, TIGO, ZANTEL, n.k.
88. Kujenga Ukumbi wa kukodisha
kwa sherehe, mikutano mbalimbali
89. Kununua matrekta, mitambo ya
ujenzi wa barabara na kukodisha
90. Kutengeneza antenna na kuuza
91. Kufungua mradi wa Machine za
kusafisha, kutoboa na kuchana
mbao
92. Kufungua mradi wa kuuza vifaa
vya Umeme wa kutumia upepo
93. Biashara ya kuagiza magari
94. Kufanya biashara za Jukebox
95. Kukodisha matenki ya maji
96. Kufungua duka la kuuza Asali
97. Kutengeneza Mikokoteni/
matoroli na kuikodisha
98. Kufungua Duka la vinyago,
batiki
99. Kuanzisha huduma ya AIRTEL
MONEY, MPESA, TIGOPESA, EZY
PESA
100. Kuanzisha sehemu ya kufanyia
mazoezi (Gym).
101. Kununua na kuuza vifaa vya
kupima ardhi.
102. Kufungua duka la kuuza dawa
(pharmacy).
103. Kufungua Kampuni ya Ulinzi
104. Kufungua kampuni ya
"Clearing and fowarding"
105. Kuchezesha vikaragosi
106. Kuuza spea za bajaji, magari
na pikipiki
107. Kuuza baiskeli
108. Kuuza magodoro
109. Kuuza vyombo mbalimbali
kwa ajili ya matumizi ya nyumbani
mfano bakuli, sahani, vikombe,
vijiko,
110. Kuuza marumaru (limestones)
111. Kuuza kokoto
112. Kuuza mchanga
113. Kufundisha Tuisheni
114. Biashara za bima
115. Kampuni ya kusafirisha abiria
kwa njia ya anga (ndege)
116. Biashara za kitalii
117. Biashara za meli na maboti.
118. Kampuni ya kuchimba visima
119. Kufungua ofisi ya wakili/
mawakili wa kujitegemea
120. Kuuza mkaa
121. Kutengeneza mashine za
kutengeneza tofali
122. Kampuni ya kupima ardhi
123. Kampuni ya magazeti
124. Kuchapa (printing) magazeti
125. Kuuza magazeti
126. Kuchimba mafuta
127. Kiwanda cha kutengeneza
mabati
128. Kiwanda cha kutengeneza
fanicha
129. Kiwanda cha kutengeneza
matairi
130. Kutengeneza vitanda vya
chuma
131. Kununua nyumba katika
Maghorofa (Apartments) na
kuzikodisha.
132. Kukodisha makapeti
133. Kupamba maharusi na kumbi
za harusi/sherehe.
134. Mashine ya kusaga na
kukoboa nafaka.
135. Kazi ya ususi na kusafisha
kucha.
136. Kuuza Gypsum
137. Malori ya kubeba mafuta na
Mizigo
138. Duka la kuuza mboga za
majani
139. Duka la kuuza maua.
140. Kampuni ya kuzoa takataka
141. Kampuni ya kuuza magari
142. Kuuza viwanja
143. Uvuvi
144. Kutengeneza na kuuza nguzo
za kujengea fensi
145. Uchoraji wa mabango.
146. Duka la kuuza silaha
147. Ukumbi wa kuonesha mpira
148. Biashara ya mlm (network
marketing)
149. Yadi kwa ajili ya kupaki magari
150. Mradi wa trekta za kukodisha.

Comments

Popular posts from this blog

MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA UCHUMBA

Yafuatayo ni mambo ya msingi kufanya katika kipindi cha uchumba; Jambo la kwanza –    Mruhusu Roho Mtakatifu afanyike Bwana wa uchumba wenu 2Wakorinto 3:17  ‘Basi Bwana’ ndiye Roho; na alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru’. Kumbuka Roho Mtakatifu ni msaidizi. Hivyo basi ni vema kumtumia vema hasa katika nyanja hii ya mahusiano katika kipindi hiki cha uchumba. Ni Roho Mtakatifu pekee mwenye uwezo wa kukujulisha mambo na siri nyingi kuhusu mchumba wako hata kama yeye hataki kukueleza. Ukimruhusu Roho Mtakatifu afanyike Bwana, yeye atakuongoza katIka kufanya maombi yanayolenga maeneo ya msingi juu ya huyo mwenzako. Kila mtu ameumbwa pamoja na mapungufu fulani au kwa lugha nyingine mapungufu/ udhaifu (weakness) ni sehemu ya maisha ya mwanadamu. Roho Mtakatifu anapokuwa Bwana wa mahusiano yako yeye atakusaidia kuona madhaifu au mapungufu ya mwenzako kama kitu cha wewe kujivunia(Strength) kwa maana ya kuona udhaifu wa mwenzako kama kitu chema na si kibaya. Kum...

VITU VYA MSINGI VINAVYOWEZA KUKUSAIDIA KUDUMISHA UPENDO KATIKA MAHUSIANO

Kuna nukuu inayosema “Uhusiano mzuri hautokei tu peke yake bali huchukua muda, uvumilivu, na watu wawili ambao kikweli wanataka kuwa pamoja.” Japo inasemwa kuwa mapenzi hayana njia moja ya kufuatwa lakini kuna vitu ambavyo vinajulikana kuchangia katika kuboresha mahusiano baina ya wapenzi. Mahusiano ya mapenzi yenye kudumu ni sharti yapandwe katika udongo wenye rutuba kama ulivyo mmea, yatahitaji maji ya kumwagilia na mbolea ya kukuzia.  Na zaidi ya yote yanahitaji muda wa kukua kabla matunda kuonekana. 1. Uaminifu Kumwamini mwenza wako ni jambo la msingi sana katika kudumisha mahusiano. Usimshuku mpenzi wako kuwa si muaminifu bila ushahidi wowote. Kushukiwa kukosa uaminifu pasipo ukweli inasononesha sana na kumkosesha raha mpenzi wako. Imesemwa na wanafalsafa wa mawazo ya binadamu kuwa “Unachofikiri na kuamini kinatokea” hivyo unashauriwa kutofikiri vibaya juu ya mpenzi wako kwani haileti afya katika mahusiano. Hali kadhalika na wewe uwe mwaminifu na mwenye kusema kweli...

ZINGATIA HAYA UNAPOKUWA MBALI NA MWENZI WAKO

KAMA UKO MBALI NA MPENZI WAKO ZINGATIA HAYA Kama unaishi mbali na mpenzi wako kwanza kabisa unatakiwa kukubali kua mko mbali, huwezi na wala hutakiwi kucontrol kile anachokifanya kule, acha kufuatilia anafanya nini huko, yuko na nani na mambo kama hayo, kwa kfuupi wivu weka pembeni kwani ukiendekeza utachanganyikiwa. Kuna mambo mengi atayafanya mazuri na mabaya lakini kama hakuonyeshei basi huna haja ya kuyafukunyua. Jambo la pili ni mawasiliano haya ni muhimu na anapokupigia simu au unapompigia tumieni muda wenu vizuri kwa kuongelea kuhusu mapenzi na si kila siku “Mbona hukupokea simu yangu? Mbona nilikuona online hukujibu SMS zangu? Kulalamika sijui nimesikia hivi? Nimesikia vile!” Atakuvumilia kwa muda kisha itaboa na atakua anakwepa kuzungumza nawe na mwisho mapenzi yatakufa. Hata kama mnaongea dakika tano zifanyeni ziwe tamu zihusu mapenzi na si kuzozana mpaka mtu akitaka kupiga simu anawaza hivi nikiongea naye si kelele tu, hakuna mtu anapenda kupigia simu mtu aliyenuna....