|
Tangaza nasi kupitia blog yako ya tujengane media muda wowote bila vikwazo. Tutafikisha matangazo yako zaidi ya nchi 108 Duniani kote. Kuwa wa kwanza kujulikana kibiashara na kutangaza kipaji chako iwe mziki , mpira, riadha nk. Utatangazwa kwa mwezi mzima kupitia blog hii kwa garama nafuu kabisa. Ili kutufikishia matangazo yako wasiliana nasi kupitia E-mail bahatimagweiga467@gmail.com au simu namba +255 786 9555 89. Kumbuka Huduma zetu ni ndani ya masaa 24 hakuna ukomo wa matangazo. Share na marafiki zako hasa wenye nia ya kufanikiwa kimaisha pia na wale amabao wamekwisha kujikatia tamaa hapa ndio sehemu yao sahihi. |
Yafuatayo ni mambo ya msingi kufanya katika kipindi cha uchumba; Jambo la kwanza – Mruhusu Roho Mtakatifu afanyike Bwana wa uchumba wenu 2Wakorinto 3:17 ‘Basi Bwana’ ndiye Roho; na alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru’. Kumbuka Roho Mtakatifu ni msaidizi. Hivyo basi ni vema kumtumia vema hasa katika nyanja hii ya mahusiano katika kipindi hiki cha uchumba. Ni Roho Mtakatifu pekee mwenye uwezo wa kukujulisha mambo na siri nyingi kuhusu mchumba wako hata kama yeye hataki kukueleza. Ukimruhusu Roho Mtakatifu afanyike Bwana, yeye atakuongoza katIka kufanya maombi yanayolenga maeneo ya msingi juu ya huyo mwenzako. Kila mtu ameumbwa pamoja na mapungufu fulani au kwa lugha nyingine mapungufu/ udhaifu (weakness) ni sehemu ya maisha ya mwanadamu. Roho Mtakatifu anapokuwa Bwana wa mahusiano yako yeye atakusaidia kuona madhaifu au mapungufu ya mwenzako kama kitu cha wewe kujivunia(Strength) kwa maana ya kuona udhaifu wa mwenzako kama kitu chema na si kibaya. Kum...
Comments
Post a Comment
asante kwa kuichagua tujengane media kuwa sehemu yako ya kujifunza