Kujitambua katika maisha ni moja ya hatua kubwa ambayo humtofautisha mtu na mtu katika swala zima la mafanikio.
Nini maana ya kujitambua?
Ukizungumzia neno kujitambua kwa mtu yeyote ni kuwa mtu sahihi, mahali sahihi, kwa muda sahihi. Kuwa mtu sahihi maana yake ni kuwa mtu ambaye unajisimamia na kutekeleza kile ambacho unatakiwa kufanya wewe kama mwanadamu.
Mahali sahihi inamanisha kwamba upo kwenye kiwango ambacho ulistahiri kuwepo kimaisha kwa maana ya kwamba kiuchumi, kijamii na hata kisiasa.
Asilimia kubwa ya vijana waliowengi hupoteza uelekeo wao wa maisha kwa kushindwa kujitambua katika umuri nyeti ambao bado vijana hawa wanakuwepo na nguvu za kutosha za kuwawezesha kushughulika na ndoto zao katika maisha.
Tunapaswa kujitambua na kutambua kwamba chochote ambacho kinaonekana sasa katika Macho yetu ni mamzi mugumu yaliofanywa na watu kama sisi. Vijana wengi tumekuwa na tabia furani ya kuiambia dunia tunachokifahamu badala ya kuonyesha Dunia unacho kifahamu kwa vitendo.
Maneno pekee hayawezi kukusukuma mbele katika kufikia ndoto zako. Unapaswa kujielekeza katika vitendo zaidi juu ya kile unachozungumzia kuliko nadharia.
Ili kugundua kwamba umejitambua lazima uwe na uwezo wa kujibu haya maswali
1. Kwanini upo hapa duniani?
2. Wewe ni nani hapa Duniani?
3. Kwanini upo katika hali hiyo ulionayo kimaisha?
4. Ni nani anapaswa kulaumiwa katika wewe kuwa hivyo ulivyo kimaisha?
5. Ni nani anathirika kupitia wewe kuwa hivyo?
6. Je anawajibu wowote wa kukutoa katika hali hiyo kwa sasa?
7. Akishindwa kukutoa katika hapo ulipomtegea kuchukua mamzi mugumu kuna madhara yoyote ya moja kwa moja yatakayompata?
8. Kwa nini afikirie kwa ajili ya maisha yako
9. Ikitokea leo akasimamisha tabia ya kufikiri kwa niaba yako utaweza kujimudu?
Majibu yatakayotokana na kujiuliza hayo maswali yatakusaidia kujijenga na kuchukua jukumu la kufanya mamzi magumu kuyatumikia maisha yako.
UMUHIMU WA KUJITAMBUA KAMA KIJANA.
kujitambua kama kijana katika muda sahihi, mazingira sahihi na umuri sahihi kuna faida na umuhimu mkubwa katika kubadili maisha yako. Hakuna aliefanikiwa na kutimiza ndoto zake pasipo kujitambua. Hiyo ndio mbegu pekee ambayo ilipandwa na watu ambao sasahivi tumekuwa tukiwa shabikia kwa manufaa binafsi.
1.kujitambua husaidia mtu kuwa tofauti na kufikiria vitu chanya ambavyo ni tofauti kabisa na wengine katika jamii inayo mzunguka. Kumbuka kwamba huwezi kuwa mtu tofauti katika jamii kwa kufikiria vitu sawia na wengine.
2. Husaidia kufikia ndoto zako kirahisi
3. Husaidia kujenga uaminifu na watu katika jamii. Ikumbukwe kwamba mafanikio yoyote huletwa na watu wanao kuzunguka katika muda sahihi.
4. Husaidia kujenga saikolojia
MAMBO YANAYOWEZA KUSADIA KUJITAMBUA KWA HARAKA NA KUWA MTU SAHIHI KATIKA MAISHA YAKO:
1: Kwepa mazingira hasi
2: Wekeza kwenye utafutaji wa maarifa sahihi na endelevu
3: penda kujitegemea hata kwa kidogo ulicho nacho
4: Jifunze kuwa mtu sahihi muda wote katika maisha yako.
4: fuatilia na kuyajua mapungufu ili uweze kuwepuka kurudia rudia udhaifu muda mwingi.
5: Chagua mahali sahihi pa kuelekeza maisha yako ( Driven power )
6: Epuka ukusanyaji wa taarifa zisizo za lazima. Chagua taarifa sahihi na zifanyie utafiti kabla hujaruhusu zianze kuendesha maisha yako.
7: Tathimini mamzi unayofanya kabla ya matumizi yake katika maisha.
8: Chagua mtu sahihi wa kukuongoza katika kufikia unakotaka kufika kimafanikio.
9: Jenga tabia ya kushinda mambo hasi
10. Jenga utamaduni wa kujisemesha semesha katika mtazamo chanya ili ukae kichwani mwako. ... nk
Makala hii itaendelea hapo badaye . Tunakushauri usiwe mbali na tujenganemedia.
Nini maana ya kujitambua?
Ukizungumzia neno kujitambua kwa mtu yeyote ni kuwa mtu sahihi, mahali sahihi, kwa muda sahihi. Kuwa mtu sahihi maana yake ni kuwa mtu ambaye unajisimamia na kutekeleza kile ambacho unatakiwa kufanya wewe kama mwanadamu.
Mahali sahihi inamanisha kwamba upo kwenye kiwango ambacho ulistahiri kuwepo kimaisha kwa maana ya kwamba kiuchumi, kijamii na hata kisiasa.
Asilimia kubwa ya vijana waliowengi hupoteza uelekeo wao wa maisha kwa kushindwa kujitambua katika umuri nyeti ambao bado vijana hawa wanakuwepo na nguvu za kutosha za kuwawezesha kushughulika na ndoto zao katika maisha.
Tunapaswa kujitambua na kutambua kwamba chochote ambacho kinaonekana sasa katika Macho yetu ni mamzi mugumu yaliofanywa na watu kama sisi. Vijana wengi tumekuwa na tabia furani ya kuiambia dunia tunachokifahamu badala ya kuonyesha Dunia unacho kifahamu kwa vitendo.
Maneno pekee hayawezi kukusukuma mbele katika kufikia ndoto zako. Unapaswa kujielekeza katika vitendo zaidi juu ya kile unachozungumzia kuliko nadharia.
Ili kugundua kwamba umejitambua lazima uwe na uwezo wa kujibu haya maswali
1. Kwanini upo hapa duniani?
2. Wewe ni nani hapa Duniani?
3. Kwanini upo katika hali hiyo ulionayo kimaisha?
4. Ni nani anapaswa kulaumiwa katika wewe kuwa hivyo ulivyo kimaisha?
5. Ni nani anathirika kupitia wewe kuwa hivyo?
6. Je anawajibu wowote wa kukutoa katika hali hiyo kwa sasa?
7. Akishindwa kukutoa katika hapo ulipomtegea kuchukua mamzi mugumu kuna madhara yoyote ya moja kwa moja yatakayompata?
8. Kwa nini afikirie kwa ajili ya maisha yako
9. Ikitokea leo akasimamisha tabia ya kufikiri kwa niaba yako utaweza kujimudu?
Majibu yatakayotokana na kujiuliza hayo maswali yatakusaidia kujijenga na kuchukua jukumu la kufanya mamzi magumu kuyatumikia maisha yako.
UMUHIMU WA KUJITAMBUA KAMA KIJANA.
kujitambua kama kijana katika muda sahihi, mazingira sahihi na umuri sahihi kuna faida na umuhimu mkubwa katika kubadili maisha yako. Hakuna aliefanikiwa na kutimiza ndoto zake pasipo kujitambua. Hiyo ndio mbegu pekee ambayo ilipandwa na watu ambao sasahivi tumekuwa tukiwa shabikia kwa manufaa binafsi.
1.kujitambua husaidia mtu kuwa tofauti na kufikiria vitu chanya ambavyo ni tofauti kabisa na wengine katika jamii inayo mzunguka. Kumbuka kwamba huwezi kuwa mtu tofauti katika jamii kwa kufikiria vitu sawia na wengine.
2. Husaidia kufikia ndoto zako kirahisi
3. Husaidia kujenga uaminifu na watu katika jamii. Ikumbukwe kwamba mafanikio yoyote huletwa na watu wanao kuzunguka katika muda sahihi.
4. Husaidia kujenga saikolojia
MAMBO YANAYOWEZA KUSADIA KUJITAMBUA KWA HARAKA NA KUWA MTU SAHIHI KATIKA MAISHA YAKO:
1: Kwepa mazingira hasi
2: Wekeza kwenye utafutaji wa maarifa sahihi na endelevu
3: penda kujitegemea hata kwa kidogo ulicho nacho
4: Jifunze kuwa mtu sahihi muda wote katika maisha yako.
4: fuatilia na kuyajua mapungufu ili uweze kuwepuka kurudia rudia udhaifu muda mwingi.
5: Chagua mahali sahihi pa kuelekeza maisha yako ( Driven power )
6: Epuka ukusanyaji wa taarifa zisizo za lazima. Chagua taarifa sahihi na zifanyie utafiti kabla hujaruhusu zianze kuendesha maisha yako.
7: Tathimini mamzi unayofanya kabla ya matumizi yake katika maisha.
8: Chagua mtu sahihi wa kukuongoza katika kufikia unakotaka kufika kimafanikio.
9: Jenga tabia ya kushinda mambo hasi
10. Jenga utamaduni wa kujisemesha semesha katika mtazamo chanya ili ukae kichwani mwako. ... nk
Makala hii itaendelea hapo badaye . Tunakushauri usiwe mbali na tujenganemedia.
Comments
Post a Comment
asante kwa kuichagua tujengane media kuwa sehemu yako ya kujifunza