Katika maisha yako usithubutu kumdharau mtu yeyote kwani kuna nguvu ambayo mungu ameweka ndani yetu ambayo wengi hatuifahamu. Ipo nguvu ya kimafanikio katika mtu huyo ambaye leo unamdharu. Kuna usemi usemao hakuna ajuaye kesho yake. Yawezekana huyo ambaye unamdharu kwa leo ndiye amebeba dhana kubwa ya mafanikio yako. Usijione bora kuliko wengine kutokana na mali ulizonazo au Elimu, cheo nk. Kupanda mulima huwa ni kazi ngumu kidogo lakini kushuka mulima ni rahisi muno. Kwa maana nyingine kushushwa kwa pigo la mwenyezi mungu ni rahisi sana. Usipende kulazimisha
Yafuatayo ni mambo ya msingi kufanya katika kipindi cha uchumba; Jambo la kwanza – Mruhusu Roho Mtakatifu afanyike Bwana wa uchumba wenu 2Wakorinto 3:17 ‘Basi Bwana’ ndiye Roho; na alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru’. Kumbuka Roho Mtakatifu ni msaidizi. Hivyo basi ni vema kumtumia vema hasa katika nyanja hii ya mahusiano katika kipindi hiki cha uchumba. Ni Roho Mtakatifu pekee mwenye uwezo wa kukujulisha mambo na siri nyingi kuhusu mchumba wako hata kama yeye hataki kukueleza. Ukimruhusu Roho Mtakatifu afanyike Bwana, yeye atakuongoza katIka kufanya maombi yanayolenga maeneo ya msingi juu ya huyo mwenzako. Kila mtu ameumbwa pamoja na mapungufu fulani au kwa lugha nyingine mapungufu/ udhaifu (weakness) ni sehemu ya maisha ya mwanadamu. Roho Mtakatifu anapokuwa Bwana wa mahusiano yako yeye atakusaidia kuona madhaifu au mapungufu ya mwenzako kama kitu cha wewe kujivunia(Strength) kwa maana ya kuona udhaifu wa mwenzako kama kitu chema na si kibaya. Kum...
Comments
Post a Comment
asante kwa kuichagua tujengane media kuwa sehemu yako ya kujifunza