unaporuhusu watu kuwa wamzi wa maisha yako lazima utegemee kuwa kama wao wanavyo waza. yawezekana kabisa ni marafiki zako ndugu zako na hata jamaa zako. hii inamanisha kwamba kwa kila hatua utakayopiga kwenye maisha yako itatokana na mawazo yao au mbinu zao za kimaisha. haijarishi ni hatua chanya au hasi.
Madhara makubwa ya kufanyiwa mmzi na watu wengine ni makubwa zaidi ya kile amabacho unadhania................................................................
Madhara makubwa ya kufanyiwa mmzi na watu wengine ni makubwa zaidi ya kile amabacho unadhania................................................................
Comments
Post a Comment
asante kwa kuichagua tujengane media kuwa sehemu yako ya kujifunza