Kuishi na wanadamu kuna hitaji akili na uwezo mpana wa kutambua tabia za kila mmoja anayekuzunguka. kwa kufanya hivyo itakurahisishia wewe kujipapmbanua na kwendana na tabia zao. siyo kwa kufuata kile wanacho kiishi( ndoto zao) bali kwa kuzingatia zile tabia zao ambazo umezijifunza kutoka kwao il wasiwe sehemu ya kukwamisha mipango yako na malengo ambayo umejiwekea.
usiogope kiwango cha maneno utakayo nenewa wakati wa kuwasoma hao bali jidhatiti vya kutosha kwa kuangalia mzigo wa malengo yako uliyo nayo. kusemwa ni sehemu ndogo sana katika maisha ya mwanadamu inategemea unasemwa juu ya nini na ni kwa namna gani unaujua ukweli juu ya kile knachosemwa juu yako.
lazima utambue kwamba umekuja hapa duniani kutimiza makusudi maalimu na wala siyo kwa bahati mbaya bali ni kwa mipango na maona makubwa toka kwa mwenyezi mungu aliyekupendelea uwepo hapa duniani na amekujalia uhai wa kuendelea utimiza makusudi yake hapa duniani.
unaweza kuwatumia wanadamu kama sehemu ya kunufaika kwa kutumia maneno yao na masengenyo yao kama sehemu ya ujuzi wa maisha na kukuimarisha vya kutosha kwa manufaa ya malengo yako mbeleni. acha kujihukumu kwa kushindwa katika maeneo machache kwenye maisha yako bali kuna nanafasi kubwa unayo ya kuhakikisha kuna jambo linatimia kama ulivyo taka litimie. kuwa wa kwanza kutoa ushuhuda wa maisha yako juu ya yale unayopitia katika kipindi chote utakachokuwa unaishi na wanadamu wenzio wakati wa maisha yako.
fikiri kabla ya kuamua na pia amua kabla ya kufiria. sentensi hiyo kidogo ningumu kuelewa lakini ni rahisi kuitumia na ndio inatumika mpaka sasa kwenye maisha yetu ya kila siku.
kwa nini ninasema hivyo kwa sababu kuna wakati ambao itakubidi uamue kabla ya kufikiria na hatimaye kuangukia kwenye wakati mugumu kwenye utatuzi wa mamzi hayo, pia kuna wakati unafikiri kuwa ni sahihi kuamua kumbe ndio unaharibu juu ya kile ulichofikiri kuwa ni sahihi kukiamulia.
FIKIRI KALA YA KUAMUA NA AMUA KABLA YA' KUFIKIRI
imeandaliwa na bahati magweiga
mwandishi wa makala na vitabu
simu namba 075747 2165
usiogope kiwango cha maneno utakayo nenewa wakati wa kuwasoma hao bali jidhatiti vya kutosha kwa kuangalia mzigo wa malengo yako uliyo nayo. kusemwa ni sehemu ndogo sana katika maisha ya mwanadamu inategemea unasemwa juu ya nini na ni kwa namna gani unaujua ukweli juu ya kile knachosemwa juu yako.
lazima utambue kwamba umekuja hapa duniani kutimiza makusudi maalimu na wala siyo kwa bahati mbaya bali ni kwa mipango na maona makubwa toka kwa mwenyezi mungu aliyekupendelea uwepo hapa duniani na amekujalia uhai wa kuendelea utimiza makusudi yake hapa duniani.
unaweza kuwatumia wanadamu kama sehemu ya kunufaika kwa kutumia maneno yao na masengenyo yao kama sehemu ya ujuzi wa maisha na kukuimarisha vya kutosha kwa manufaa ya malengo yako mbeleni. acha kujihukumu kwa kushindwa katika maeneo machache kwenye maisha yako bali kuna nanafasi kubwa unayo ya kuhakikisha kuna jambo linatimia kama ulivyo taka litimie. kuwa wa kwanza kutoa ushuhuda wa maisha yako juu ya yale unayopitia katika kipindi chote utakachokuwa unaishi na wanadamu wenzio wakati wa maisha yako.
fikiri kabla ya kuamua na pia amua kabla ya kufiria. sentensi hiyo kidogo ningumu kuelewa lakini ni rahisi kuitumia na ndio inatumika mpaka sasa kwenye maisha yetu ya kila siku.
kwa nini ninasema hivyo kwa sababu kuna wakati ambao itakubidi uamue kabla ya kufikiria na hatimaye kuangukia kwenye wakati mugumu kwenye utatuzi wa mamzi hayo, pia kuna wakati unafikiri kuwa ni sahihi kuamua kumbe ndio unaharibu juu ya kile ulichofikiri kuwa ni sahihi kukiamulia.
FIKIRI KALA YA KUAMUA NA AMUA KABLA YA' KUFIKIRI
imeandaliwa na bahati magweiga
mwandishi wa makala na vitabu
simu namba 075747 2165
Comments
Post a Comment
asante kwa kuichagua tujengane media kuwa sehemu yako ya kujifunza