Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2018

KUWA NA MAMZI BINAFSI

unaporuhusu  watu kuwa wamzi wa maisha yako lazima utegemee kuwa kama wao wanavyo waza. yawezekana kabisa ni marafiki zako ndugu zako na  hata jamaa zako. hii inamanisha kwamba kwa kila hatua utakayopiga kwenye maisha yako itatokana na mawazo yao au mbinu zao za kimaisha. haijarishi ni hatua chanya au hasi. Madhara makubwa ya kufanyiwa mmzi na watu wengine ni makubwa zaidi ya kile amabacho unadhania................................................................

NUKUU YA LEO NA TUJENGANE MEDIA

Katika maisha yako usithubutu kumdharau mtu yeyote kwani kuna nguvu ambayo mungu ameweka ndani yetu ambayo wengi hatuifahamu.  Ipo nguvu ya kimafanikio katika mtu huyo ambaye leo unamdharu.  Kuna usemi  usemao  hakuna ajuaye kesho yake.  Yawezekana huyo ambaye unamdharu kwa leo ndiye amebeba dhana kubwa ya mafanikio yako.  Usijione bora kuliko wengine kutokana na mali ulizonazo au Elimu,  cheo  nk. Kupanda mulima huwa ni kazi ngumu kidogo lakini kushuka mulima ni rahisi muno.  Kwa maana nyingine kushushwa kwa pigo la mwenyezi mungu ni rahisi sana.  Usipende kulazimisha