Skip to main content

Posts

Showing posts from February, 2019

BMB AGRIBUSNESS COMPANY LIMITED

Wasiliana nasi sasa kupata mahitaji yako ya msingi hasa katika uhitaji wa  wawanyama kama vile samamki, kuku, unguruwe pamoja na mazao mengine ya kibiashara ikiwepo nyanya , vitunguu, matikiti maji , matango nakadharika. tunapatikana kibaha katika maeneo ya fuatayo,  Mlandizi makazi mapya karibu na kijiji cha ngeta jirani kabisa na kwa diwani  maarufu kama mzee RUBWAWA, Kongowe  njia panda ya kuelekea forest mtaa wa mama MATHA pia tunapatikana soga kijijini maeneo ya kipangege  karibu na kituo na cha kupandia treni ya mwendo kasi  kilometer moja kuelekea KIPANGEGE .  hudumiwa nasi sasa ndani ya masaa 24 bila ya ufumbufu , kwetu mteja ni hadhina  kwa mawasiliano zaidi piga simu namaba 0659991953 0757472165 0752592813 au tuandikie barua pepe bahatimagweiga@gmail.com

Epuka dharau katika maisha

Kote katika njia zako za maisha utakazopita epuka kumdharau mtu usiye mjua kwa kuwa kuna nguvu furani ambayo mungu ameweka katika kila mmoja wetu. pengine ikawa ndiye mwenye mafanikio yako kwasababu tunasema kwamba mafanikio yako yako mikononi mwa mungu , pengine mungu amemuleta huyo unaye mdharau kuwa sehemu ya kufanikisha mambo yako. pengine mtu huyo ndiye yule ambaye  mungu anamtumia kama jaribu kweneye maisha yako na usipolishinda huwezi kufanikiwa hata kidogo. kuishi na watu vizuri katika jamii kutakufanya upate baraka mbele za  mungu na kutimiza makusudi maalum ambayo mungu amaeweka ndani yako ili uyatimize hapa duniani