![]() |
Wasiliana nasi sasa kupata mahitaji yako ya msingi hasa katika uhitaji wa wawanyama kama vile samamki, kuku, unguruwe pamoja na mazao mengine ya kibiashara ikiwepo nyanya , vitunguu, matikiti maji , matango nakadharika.
tunapatikana kibaha katika maeneo ya fuatayo,
Mlandizi makazi mapya karibu na kijiji cha ngeta jirani kabisa na kwa diwani maarufu kama mzee RUBWAWA, Kongowe njia panda ya kuelekea forest mtaa wa mama MATHA
pia tunapatikana soga kijijini maeneo ya kipangege karibu na kituo na cha kupandia treni ya mwendo kasi kilometer moja kuelekea KIPANGEGE .
hudumiwa nasi sasa ndani ya masaa 24 bila ya ufumbufu , kwetu mteja ni hadhina
kwa mawasiliano zaidi piga simu namaba
0659991953
0757472165
0752592813
au tuandikie barua pepe bahatimagweiga@gmail.com
Comments
Post a Comment
asante kwa kuichagua tujengane media kuwa sehemu yako ya kujifunza