katiaka maisha usisahau kuacha nafasi ya wanadamu kukumbusha juu ya matendo yako maovu unayopitia kuelekea kwenye mwisho wako. kikubwa hupaswi kulalamika na kusononeka kwa hayo unayopitia. kumbuka nyakati na siku zaja ambazo hutapata nafasi ya kuambiwa kwamba haupo sahihi kwenye maisha yako. Tambua kwamba maneno yao hayana madhara yoyote kwenye maisha yako bali yanakuongezea nguvu ya kusonga mbele na kufikia mwisho wako uliomwema .
Moja ya vitu ambavyo ungepaswa kuomba kwa mungu ni hekima na maarifa thabiti ili uweze kufika kule unakotazamia bila mahangaiko na magumu yoyote.
Moja ya vitu ambavyo ungepaswa kuomba kwa mungu ni hekima na maarifa thabiti ili uweze kufika kule unakotazamia bila mahangaiko na magumu yoyote.
Comments
Post a Comment
asante kwa kuichagua tujengane media kuwa sehemu yako ya kujifunza