Kila hatua utakayopiga kwenye maisha yako lazima itakuwa na watu wa kuzungumza juu ya hatua zako. kwa maana nyingine tunasema kwamba kadiri unavyojitahidi kufanikiwa ndivyo unaongeza kiwango cha madui kwenye maisha yako. ila idadi yao haina madhara kwako kama utaamua kupuuza kile ambacho wanakisema juu yako. wapo wengine ambao hata kama ni watu wako wa karibu lazima watajinua kuyazungumzia maendeleo yako.haijarishi umekuwa ukiwasaidia kwa kiasi gani au unawasaidia kwa kiwango gani bado hahao watakugeukia na kuwa na kuwa mwiba kwenye maendeleo yako.
kinachohitajika hapo ni kuwapuza na kutofanyia kazi yale ambayo unaamini kwamba yatakuwa na matokeo hasi kwenye maisah yako binafsi. endelea kuamini kuwa mabadiliko yako yapo mikononi mwako kwa sababu tunasema kijana mpumbavu atayavunja maisha yake kwa akili zake mwenyewe.
jikite zaidi kwenye kutafuta mabadiliko juu ya malengo yako na mipango yako .
wanadamu siku zote wema wao huwa haupo katika yale ambayo umejitoa kwa ajili yao bali wema wao hugeukakwa nia mbaya juu yako
wanadamu siku zote wema wao huwa haupo katika yale ambayo umejitoa kwa ajili yao bali wema wao hugeukakwa nia mbaya juu yako
Comments
Post a Comment
asante kwa kuichagua tujengane media kuwa sehemu yako ya kujifunza