🏆🍇🎓💚🏆👇🖊
Kwa wanawake maisha yamebadilika kwa asilimia kubwa sana.
Wakati wewe unafikiria na kujivunia Elimu yako kuwa mtatuzi wa matatizo yako kwenye ndoa, mwenzako ambaye hakwenda shule anajivunia taaluma ya mapenzi aliopata mtaani baada ya kushindwa kuendelea na masomo.
👇👇👇💚🍇🏆🖊👠
Hii imekuwa ikiwatesa wanawake wengi wasomi. Wao wanawaza kwamba mwanaume anaweza kunaswa na pesa zake na kutulia kwenye ndoa. Yuko tayari kumpa mwanaume mshahara wake wote ili awe na furaha katika ndoa. Ukweli ni kwamba mshahara wako unaweza kununua vitu vingi sana kwa faida ya ndoa yako lakini sio furaha itokanayo na tendo la ndoa kati yako na mume wako.
.........................................................................................
Katika mazingira kama hayo ni asilimia 100 % kumkuta yule binti ambaye alikuwa kilaza darasani kwenu anaishi vizuri kabisa katika ndoa yake na anafurahia maisha ya ndoa yake zaidi yako wewe unayelingia mshahara na Elimu.
Ukweli ni kwamba kumpa mwanaume mshahara wako na pesa zako zote bila kuimarisha sekita ya tendo la ndoa unapoteza muda na kujidanganya kuwa upo sahihi. Usidanganywe kwamba pesa zinaweza kumuroga mwanaume asikusariti .
© *Bahati Magweiga*
🍇🏆🙏🙏👏👏
Kwa wanawake maisha yamebadilika kwa asilimia kubwa sana.
Wakati wewe unafikiria na kujivunia Elimu yako kuwa mtatuzi wa matatizo yako kwenye ndoa, mwenzako ambaye hakwenda shule anajivunia taaluma ya mapenzi aliopata mtaani baada ya kushindwa kuendelea na masomo.
👇👇👇💚🍇🏆🖊👠
Hii imekuwa ikiwatesa wanawake wengi wasomi. Wao wanawaza kwamba mwanaume anaweza kunaswa na pesa zake na kutulia kwenye ndoa. Yuko tayari kumpa mwanaume mshahara wake wote ili awe na furaha katika ndoa. Ukweli ni kwamba mshahara wako unaweza kununua vitu vingi sana kwa faida ya ndoa yako lakini sio furaha itokanayo na tendo la ndoa kati yako na mume wako.
.........................................................................................
Katika mazingira kama hayo ni asilimia 100 % kumkuta yule binti ambaye alikuwa kilaza darasani kwenu anaishi vizuri kabisa katika ndoa yake na anafurahia maisha ya ndoa yake zaidi yako wewe unayelingia mshahara na Elimu.
Ukweli ni kwamba kumpa mwanaume mshahara wako na pesa zako zote bila kuimarisha sekita ya tendo la ndoa unapoteza muda na kujidanganya kuwa upo sahihi. Usidanganywe kwamba pesa zinaweza kumuroga mwanaume asikusariti .
© *Bahati Magweiga*
🍇🏆🙏🙏👏👏
Comments
Post a Comment
asante kwa kuichagua tujengane media kuwa sehemu yako ya kujifunza