🏆🎓❤👠👇💚🖊
Uzuri wa sura pekee haukufanyi kupata tiketi ya kuimiliki ndoa kwa asilimia 100 %
Bora uwe mrembo wa akili, Maarifa, unyenyekevu, Hekima, ukarimu, upendo maana hivyo vitakupa uhakika wa kuifikisha ndoa yako salama katika safari ya maisha ya ndoa mulioanza.
🍇👇🎓👫🏆
Inaleta picha gani kujiita mrembo huku unaambatana na mumeo kwenda kwenye baraza la wazee kudai ushauri wa Talaka? ?? Kisa umepata wa pembeni anaye kupenda?
Uremho wako utakuwa useless kwa mume wako endapo Uremho huo utakuwa hauna ushirikiano na tabia binafsi.
© *Bahati Magweiga*
Mshauri elekezi wa vijana na mahusiano 💚🏆🍇
Unakutana na mabinti wazuri kweli ambao wakipita sehemu wanaume wote wanaacha kazi zao na kuanza kuulizana maswali. Wengine mpaka wanawapigia makofi kwa uzuri wao lkn hata ukiwauliza hao wanaume kwa nn wasiowe hao mabinti????
..........................................................................................
✔Kila mwanaume anapiga chenga na kusema hawezi kelele za kila siku.
✔ wengine wanasema hawawezi kuishi na binti wa jumuiya kwani wa hivyo huwa wanakuwaga na kiburi sana ndani kwa sababu huamini kwamba mtaani wana garama.
........... Nk. Mambo mengitu utasikia kwa waowaji.
Kwa kiasi furani inauma sana kumkuta binti ambaye ulikuwa unamtukana sura mbovu, mchafu ananuka nk yeye ameolewa na kigogo alafu wewe na uremho wako unaishia kwenye mawindo na huduma zisizo rasimi kwa jamii.
Nasikiaga mtaani wanasema kwamba mungu hawezi kukupa vyote . Akikupa uremho hapo kichwani jua nikashatu hakuna kitu. Akikupa sura ya kawaida jua hapo kichwani ni nondo tupu akili za kutosha, maarifa kibao nk
Uzuri wa sura pekee haukufanyi kupata tiketi ya kuimiliki ndoa kwa asilimia 100 %
Bora uwe mrembo wa akili, Maarifa, unyenyekevu, Hekima, ukarimu, upendo maana hivyo vitakupa uhakika wa kuifikisha ndoa yako salama katika safari ya maisha ya ndoa mulioanza.
🍇👇🎓👫🏆
Inaleta picha gani kujiita mrembo huku unaambatana na mumeo kwenda kwenye baraza la wazee kudai ushauri wa Talaka? ?? Kisa umepata wa pembeni anaye kupenda?
Uremho wako utakuwa useless kwa mume wako endapo Uremho huo utakuwa hauna ushirikiano na tabia binafsi.
© *Bahati Magweiga*
Mshauri elekezi wa vijana na mahusiano 💚🏆🍇
Unakutana na mabinti wazuri kweli ambao wakipita sehemu wanaume wote wanaacha kazi zao na kuanza kuulizana maswali. Wengine mpaka wanawapigia makofi kwa uzuri wao lkn hata ukiwauliza hao wanaume kwa nn wasiowe hao mabinti????
..........................................................................................
✔Kila mwanaume anapiga chenga na kusema hawezi kelele za kila siku.
✔ wengine wanasema hawawezi kuishi na binti wa jumuiya kwani wa hivyo huwa wanakuwaga na kiburi sana ndani kwa sababu huamini kwamba mtaani wana garama.
........... Nk. Mambo mengitu utasikia kwa waowaji.
Kwa kiasi furani inauma sana kumkuta binti ambaye ulikuwa unamtukana sura mbovu, mchafu ananuka nk yeye ameolewa na kigogo alafu wewe na uremho wako unaishia kwenye mawindo na huduma zisizo rasimi kwa jamii.
Nasikiaga mtaani wanasema kwamba mungu hawezi kukupa vyote . Akikupa uremho hapo kichwani jua nikashatu hakuna kitu. Akikupa sura ya kawaida jua hapo kichwani ni nondo tupu akili za kutosha, maarifa kibao nk
Comments
Post a Comment
asante kwa kuichagua tujengane media kuwa sehemu yako ya kujifunza