Skip to main content
🏆🎓❤👠👇💚🖊
Uzuri wa sura pekee haukufanyi kupata tiketi ya kuimiliki ndoa kwa asilimia 100 %
Bora uwe mrembo wa akili, Maarifa, unyenyekevu, Hekima, ukarimu, upendo maana hivyo vitakupa uhakika wa kuifikisha ndoa yako salama katika safari ya maisha ya ndoa mulioanza.
🍇👇🎓👫🏆
Inaleta picha gani kujiita mrembo huku unaambatana na mumeo kwenda kwenye baraza la wazee kudai ushauri wa Talaka? ?? Kisa umepata wa pembeni anaye kupenda?
Uremho wako utakuwa useless kwa mume wako endapo Uremho huo utakuwa hauna ushirikiano na tabia binafsi.
© *Bahati Magweiga*
Mshauri elekezi wa vijana na mahusiano 💚🏆🍇
Unakutana na mabinti wazuri kweli ambao wakipita sehemu wanaume wote wanaacha kazi zao na kuanza kuulizana maswali. Wengine mpaka wanawapigia makofi kwa uzuri wao  lkn hata ukiwauliza hao wanaume kwa nn wasiowe hao mabinti????
..........................................................................................
  ✔Kila mwanaume anapiga chenga na kusema hawezi kelele za kila siku.
✔ wengine wanasema hawawezi kuishi na binti wa jumuiya kwani wa hivyo huwa wanakuwaga na kiburi sana ndani kwa sababu huamini kwamba mtaani wana garama.
........... Nk.  Mambo mengitu utasikia kwa waowaji.

Kwa kiasi furani inauma sana kumkuta binti ambaye ulikuwa unamtukana sura mbovu,  mchafu ananuka nk  yeye ameolewa na kigogo alafu wewe na uremho wako unaishia kwenye mawindo na huduma zisizo rasimi kwa jamii.
Nasikiaga mtaani wanasema kwamba mungu hawezi kukupa vyote . Akikupa uremho hapo kichwani jua nikashatu hakuna kitu.  Akikupa sura ya kawaida jua hapo kichwani ni nondo tupu akili za kutosha, maarifa kibao nk

Comments

Popular posts from this blog

MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA UCHUMBA

Yafuatayo ni mambo ya msingi kufanya katika kipindi cha uchumba; Jambo la kwanza –    Mruhusu Roho Mtakatifu afanyike Bwana wa uchumba wenu 2Wakorinto 3:17  ‘Basi Bwana’ ndiye Roho; na alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru’. Kumbuka Roho Mtakatifu ni msaidizi. Hivyo basi ni vema kumtumia vema hasa katika nyanja hii ya mahusiano katika kipindi hiki cha uchumba. Ni Roho Mtakatifu pekee mwenye uwezo wa kukujulisha mambo na siri nyingi kuhusu mchumba wako hata kama yeye hataki kukueleza. Ukimruhusu Roho Mtakatifu afanyike Bwana, yeye atakuongoza katIka kufanya maombi yanayolenga maeneo ya msingi juu ya huyo mwenzako. Kila mtu ameumbwa pamoja na mapungufu fulani au kwa lugha nyingine mapungufu/ udhaifu (weakness) ni sehemu ya maisha ya mwanadamu. Roho Mtakatifu anapokuwa Bwana wa mahusiano yako yeye atakusaidia kuona madhaifu au mapungufu ya mwenzako kama kitu cha wewe kujivunia(Strength) kwa maana ya kuona udhaifu wa mwenzako kama kitu chema na si kibaya. Kum...

VITU VYA MSINGI VINAVYOWEZA KUKUSAIDIA KUDUMISHA UPENDO KATIKA MAHUSIANO

Kuna nukuu inayosema “Uhusiano mzuri hautokei tu peke yake bali huchukua muda, uvumilivu, na watu wawili ambao kikweli wanataka kuwa pamoja.” Japo inasemwa kuwa mapenzi hayana njia moja ya kufuatwa lakini kuna vitu ambavyo vinajulikana kuchangia katika kuboresha mahusiano baina ya wapenzi. Mahusiano ya mapenzi yenye kudumu ni sharti yapandwe katika udongo wenye rutuba kama ulivyo mmea, yatahitaji maji ya kumwagilia na mbolea ya kukuzia.  Na zaidi ya yote yanahitaji muda wa kukua kabla matunda kuonekana. 1. Uaminifu Kumwamini mwenza wako ni jambo la msingi sana katika kudumisha mahusiano. Usimshuku mpenzi wako kuwa si muaminifu bila ushahidi wowote. Kushukiwa kukosa uaminifu pasipo ukweli inasononesha sana na kumkosesha raha mpenzi wako. Imesemwa na wanafalsafa wa mawazo ya binadamu kuwa “Unachofikiri na kuamini kinatokea” hivyo unashauriwa kutofikiri vibaya juu ya mpenzi wako kwani haileti afya katika mahusiano. Hali kadhalika na wewe uwe mwaminifu na mwenye kusema kweli...

ZINGATIA HAYA UNAPOKUWA MBALI NA MWENZI WAKO

KAMA UKO MBALI NA MPENZI WAKO ZINGATIA HAYA Kama unaishi mbali na mpenzi wako kwanza kabisa unatakiwa kukubali kua mko mbali, huwezi na wala hutakiwi kucontrol kile anachokifanya kule, acha kufuatilia anafanya nini huko, yuko na nani na mambo kama hayo, kwa kfuupi wivu weka pembeni kwani ukiendekeza utachanganyikiwa. Kuna mambo mengi atayafanya mazuri na mabaya lakini kama hakuonyeshei basi huna haja ya kuyafukunyua. Jambo la pili ni mawasiliano haya ni muhimu na anapokupigia simu au unapompigia tumieni muda wenu vizuri kwa kuongelea kuhusu mapenzi na si kila siku “Mbona hukupokea simu yangu? Mbona nilikuona online hukujibu SMS zangu? Kulalamika sijui nimesikia hivi? Nimesikia vile!” Atakuvumilia kwa muda kisha itaboa na atakua anakwepa kuzungumza nawe na mwisho mapenzi yatakufa. Hata kama mnaongea dakika tano zifanyeni ziwe tamu zihusu mapenzi na si kuzozana mpaka mtu akitaka kupiga simu anawaza hivi nikiongea naye si kelele tu, hakuna mtu anapenda kupigia simu mtu aliyenuna....