Wanaume wengi wanafikilia kuwa mwanamke anachohitaji kwenye maisha ni hela, magari na mijizawadi ya kumdanganyia, lakini ukweli ni kwamba mwanamke sahihi kwako au mke wako hahitaji hivyo vyote kwani kwake hivyo ni matokeo tu katika maisha ila anachojali zaidi ni Muda wako kwake, upendo wako kwake, Kujali kwako, ukweli wako kwake, uaminifu wako kwako, na Tabasamu, na wewe kumfanya yeye ndio kipaumbele chako na zaidi ya vyote uwe na hofu ya Mungu. Hela, magari na zawadi ni Kazi bure kama hivyo vyote vingine havioni ndani ya Nyumba kwa kuwa kwako hajafata hivyo wengine hata kwao hela zilikuwepo na hata pia hayo magari yalikuwepo na bado yapo, na walikuwa wanavitumia ila kwako kuna vya ziada alivyofata ambavyo ni muhimu zaidi kuliko hayo magari na hela.
Zingatia sana kujali familia yako kwani upendo wako ni wa thamani sana kwao
Kumbuka ndoa yoyote Iliyodumu au mahusiano yoyote yaliyodumu maana yake kuna mmoja Kati yao Alikuwa anajishusha, Walikuwa wanasameheana pale walipokoseana na hawakuchukuliana kama malaika, Hawakukatiana Tamaa kabisa na yale mazuri hata kama ni machache waliyokuwa nayo waliyatumia kama dira kuyarekebisha yale mabaya ndio Unaowaona hapo walipofika . hivyo tujifunze kupitia hayo nasi tutafika.
Bahati Magweiga
0757472165
0659991953
Zingatia sana kujali familia yako kwani upendo wako ni wa thamani sana kwao
Kumbuka ndoa yoyote Iliyodumu au mahusiano yoyote yaliyodumu maana yake kuna mmoja Kati yao Alikuwa anajishusha, Walikuwa wanasameheana pale walipokoseana na hawakuchukuliana kama malaika, Hawakukatiana Tamaa kabisa na yale mazuri hata kama ni machache waliyokuwa nayo waliyatumia kama dira kuyarekebisha yale mabaya ndio Unaowaona hapo walipofika . hivyo tujifunze kupitia hayo nasi tutafika.
Bahati Magweiga
0757472165
0659991953
Comments
Post a Comment
asante kwa kuichagua tujengane media kuwa sehemu yako ya kujifunza